Hospitali ya Rufaa ya Mkoa - Amana

Uchomaji wa Takataka (Ngumu)

Posted on: September 1st, 2025

Hospitali inatoa huduma ya uchomaji taka kwa vituo vinavyozalisha taka ngumu kwa gharama ya shilingi 3,000 kwa kilo kwa kutumia mashine ya kisasa ambayo ni rafiki wa mazingira karibuni sana