Hospitali ya Rufaa ya Mkoa - Amana

Malengo

       Madhumuni na malengo ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana

  1. Kuboresha miundombinu kutoka 60% hadi 85% ifikapo 2022
  2. Kuongeza uwezo wa rasilimali watu kutoka 60% hadi 90% ifikapo 2022
  3. Kuongeza upatikanaji wa vifaa kutoka 50% hadi 75% ifikapo 2022
  4. Kuongeza upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kutoka 80% hadi 95% 2022
  5. Kuboresha usafirishaji kwa kuongeza idadi ya magari kutoka 2 hadi 4 ifikapo 2022
  6. Kuboresha mifumo ya usimamizi wa data kutoka 70% hadi 95% ifikapo 2022
  7. Kuboresha huduma za afya ya uzazi na watoto kutoka 80% hadi 95%